in , , , , , , , , ,

WALIOITWA Kwenye Mafunzo Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mei 2025 [PDF File]

PDF File -WALIOITWA Kwenye Mafunzo Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mei 2025
Fire and Rescue Service
New Government Job Opportunities at Fire and Rescue Service May 2025

šŸ’„UNASUBIRI NINI? FOLLOW US ON INSTAGRAM. CLICK HERE!šŸ’„

AJIRA MPYA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJIĀ  TANZANIA 2025 | NAFASI MPYA ZA KAZI JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI TANZANIA 2025

PDF File -WALIOITWA Kwenye Mafunzo Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mei 2025
Overview

Nafasi
za Ajira Mpya JESHI la Zimamoto Tanzania Mei 2025, Ajira Mpya JESHI la
Zimamoto Mei 2025, Ajira Mpya JESHI la Zimamoto Tanzania, Nafasi Mpya za
Kazi JESHI la Zimamoto Tanzania Mei 2025, Tanzanian Fire and Rescue
Force Jobs 2025, Ajira Mpya JESHI la Zima moto Tanzania Mei 2025, Ajira
Mpya JESHI la Zima Moto Mei 2025, Ajira Mpya JESHI la Zima Moto
Tanzania, Nafasi Mpya za Kazi JESHI la Zima Moto Tanzania Mei 2025
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI

KUITWA KWENYE MAFUNZO YA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI

Jeshi
la Zimamoto na Uokoaji linatangaza majina ya waliochaguliwa kuhudhuria
mafunzo ya Uaskari ngazi ya Konstebo wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.

Wahusika
wote wanatakiwa kufika Chuo cha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kilichopo
Chogo Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga kuanzia tarehe 16 Mei, 2025 hadi
tarehe 18 Mei, 2025 bila kukosa; kwa ambaye hatafika chuoni kwa tarehe
zilizopangwa hatapokelewa na nafasi yake itachukuliwa na mtu mwingine.

Kufika
chuoni shuka kituo cha Kabuku kilichopo kilometa 12 toka chuoni. Chuo
kimeandaa utaratibu maalumu wa kuwapokea kwa tarehe zilizotajwa hapo
juu, kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 4 usiku.

Mhusika atapaswa kujigharamia nauli ya kwenda sambamba na chakula na malazi kwa siku zote ambazo atakuwa hajapokelewa Chuoni.

Mhusika
anapaswa kuja akiwa na vyeti halisi vya masomo, taaluma au ujuzi
alioombea pamoja na cheti cha kuzaliwa, kitambulisho cha NIDA au namba
na leseni hai kwa walioomba nafasi ya udereva. Vyeti vyote tajwa hapo
juu viwe na nakala tatu kwa kila cheti pia vyeti hivyo vitakaguliwa na
kwa ambaye majina yake yatatofautiana kati ya vyeti vya shule/taaluma,
NIDA na cheti cha kuzaliwa watarudishwa na nafasi zao zitachukuliwa na
wengine.

Mhusika atakapofika chuoni awe tayari kupimwa afya ya
mwili, akili na Mimba kwa wanawake na ambaye atabainika kuwa na kasoro
za kiafyahataruhusiwa kuendelea na mafunzo na atarudishwa kwa gharama
zake na nafasi yake itachukuliwa na mtu mwingine.

Wahusika wote
wanatakiwa kuja na vifaa vifuatavyo: mashuka mawili (02) ya rangi ya
bluu, mto 01 na foronya 02 ya rangi ya bluu, chandarua 01 rangi ya bluu
(cha duara), ndoo ya plastiki ya lita 20, sahani na kikombe cha bati,
fedha kiasi kwa matumizi binafsi na bima za afya kwa walionazo. Aidha
vifaa vifuatavyo watanunua kwenye duka la Chuo, raba za michezo, fulana
(T-shirt) rangi ya bluu, Madaftari makubwa (counter books 4 quire 5
pcs), vifaa vya michezo (truck suite, bukta bluu, na fulana) na kalamu.

PDF File -WALIOITWA Kwenye Mafunzo Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mei 2025

DOWNLOAD PDF FILE YA MAJINA + MAELEZO HAPA!

logoblog





JOIN US ON TELEGRAM
Get Notifications Faster by:

7 New FORM FOUR and Above Government Various Jobs at Utumishi May 2025

5 New Various Jobs at Kilombero Sugar Company Ltd (KSCL)